image slider

HUDUMA TUNAZOZITOA
Watengenezaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Ushauri wa ufugaji wa kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku

Sunday, December 25, 2016

MASHINE ZA KUTOTOA VIFARANGA

Tupo mwishoni kabisa mwa mwaka
Katika kusaidiana kuondokana na umaskini, sisi tunafanya kila kinachowezekana kusaidiana katika jitihada za kupambana na umaskini.
Kwa sasa tuna mashine za kutotoa vifaranga zinazotumia mafuta ya taa na ufanisiwake ni zuri sana.
Kubwa kabisa ya hizi mashine za mafuta ya taa zinazotumia mafuta ya taa ni ile inayobeba mayai 120. Hii inapatikana kwa sh. 70000 tu.Bei za mashine zingine zimepungua bei kama ifuatavvyo:
MNAKARIBISHWA WOTE
MAWASILIANO NI: 0753903809 . Mashine za mafuta za mafuta ya taa ni nzuri kwa watu wanao ishi sehemu ambazo hazina umeme

No comments: