image slider

HUDUMA TUNAZOZITOA
Watengenezaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Ushauri wa ufugaji wa kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku

Tuesday, December 18, 2012

MASHINE ZA KUANGULIA VIFARANGA VYA KUKU, BATA NA NDEGE WENGINE




:
Ili mayai ya kuku yaweze kuanguliwa mambo yafuatayo huhitajika:
1.       Joto linalohitajika (37.5C0)
2.       Kugeuzwa angalau mara tatu
3.       Unyevunyevu unaohitajika
Mambo hayo matatu yakiwepo, mayai ya kuku huwenza kuanguliwa baada ya siku 21. Kuku waataminzi huweza kufanya kazi hii kwa ufanisi mkubwa sana.
Tatizo la kuku waataminzi ni kuwa huwenza kuatamia mayai machache tu kwa muda mmoja. Hivyo ili mfugaji aweze kupata vifaranga wengi kwa pamoja ni lazima awe na kuku waataminzi wengi sana.
Kuondokana na shida hii, watu hutumia mashine ziitwazo “incubator” ambazo hufanya kazi badala ya mama kuku.
Faida ya kutumia incubator ni kuwa mfugaji hupata vifaranga wengi kwa pamoja. Mashine hizi zina uwezo mkubwa sana wa kutotoa vifaranga. Sisi Watanzania ndio tupo mwanzo kabisa wa kujenga utayari katika uzalishaji wa mazao kibiashara.
Sisi tunatengeneza mashine za aina mbalimbali na kwa ukubwa tofauti kama zinavyoonekana hapa chini.
Mashine hizi ni “automated” kwa maana ya kuwa:
1.       Huweka joto kwa kiwango kinachotakiwa zenyewe
2.       Huweka unyevu (humidity) unaotakiwa zenyewe
3.       Hugeuza mayai mara nyingi itakiwavyo zenyewe.
Kwa wale wanaozihitaji mfike Iringa mjini au kama mko mbali tunaweza kuwafikishia  hizo mashine mpaka mahali mlipo bila wasiwasi.
Tunatengeneza mashine za mayai 90, 120, 180, ... mpaka 1000.
Tuwasiliane kwa:
0753903809 au
0655903809
au
na kwa maelezo zaidi tembelea www.mrmduda.blogspot.com na tunaweza kuchat kwenye skype ukitembelea kwenye website hiyo na pia tunaweza kuonana kwenye facebook.
MNAKARIBISHWA WOTE.



Sunday, December 2, 2012

MASHINE ZA KUANGULIA VIFARANGA VYA KUKU




Ili mayai ya kuku yaweze kuanguliwa kunahitajika kuwe na mambo matatu muhimu:
1.       Joto linalotakiwa kwa ajili ya kuangulia mayai
2.       Uvukevuke unaohitajika ili mayai yasipoteze maji mengi mno wakati wa kuatamiwa
3.       Mayai kugeuzwageuzwa angalau mara tatu kwa siku na zaidi ya hiyo mara tat uni vizuri zaidi.
Kwa asili kazi hizo hufanywa na mama kuku akiwa ameatamia mayai yake kwa ufanisi mkubwa sana. Tatizo linaloletwa na utaratibu huu kwa mfugaji ni kuwa mara nyingi kuku huatamia mayai machache tu kwa wakati mmoja. Kwa mfugaji wa kuku anayetaka kufuga kibiashara mfumo huu si mzuri kwa kuwa  mfugaji atapata vifaranga wachache tu tofauti labda na idadi inayotakiwa.
Ili kuondoa shida hii, mashine ambazo hufanya kazi ya mama kuku. Mashine hizo zina uwezo wa kutoa :
1.       Kutoa jito linalotakiwa kuangua vifaranga
2.       Unyevunyevu (humidity) unaotakiwa
3.       Kugeuza mayai mara nyingi kwa kadri inavyotakiwa
Sisi tunatengeneza mashine hizo ambazo zinaitwa incubators. Mashine hizo ni automated kwa maana ya kuwa hufanya kazi hizo zote zenyewe. Hii inasaidia kumpunguzia mfugaji kazi ya kuangalia mayai muda ambao mayai hayo yapo kwenye kiatamizi.
Tunatengeneza mashine za ukubwa tofautitofauti. Mashine hizo zina uwezo wa mayai kutoka 300 hadi 2000.
Kama unahitaji mashine ndogo zaidi ya mashine ya mayai 300 basi tunaweza  kukutengenezea na kama unahitaji mayai mengi zaidi ya 2000 nayo pia tutakutengenezea.
Kwa kuwa wateja wetu wengi wameonesha kuhitaji mashine za mayai machache pia kulingana na kiasi cha ufugaji wao, tumeanza kutengeza mashine za mayai 90, 120, 120, 150, 180, 210, 240, na 270n pia.
TUWASILIANE KWA: 0753903809, 0655903809
Au kwa e-mail zifuatazo:
expecamdu@ymail.com
au tembelea hapa:
KARIBUNI SANA.
Sisi tupo Iringa.




SUCCESSFUL INCUBATION OF CHICKEN EGGS

Guidelines for Successfully incubating chicken egges



  1. Keep the temperature between 98 and 101 fahrenheit (The optimal temperature that you are striving for is 98.5)

  2. Keep the humidity between 55 and 70%

  3. It will take 21 days for the eggs to hatch

Saturday, December 1, 2012

MACHINE ZA KUANGUA VIFARANGA



MASHINE ZA KUANGULIA VIFARANGA VYA KUKU
Ili mayai ya kuku yaweze kuanguliwa kunahitajika kuwe na mambo matatu muhimu:
1.       Joto linalotakiwa kwa ajili ya kuangulia mayai
2.       Uvukevuke unaohitajika ili mayai yasipoteze maji mengi mno wakati wa kuatamiwa
3.       Mayai kugeuzwageuzwa angalau mara tatu kwa siku na zaidi ya hiyo mara tat uni vizuri zaidi.
Kwa asili kazi hizo hufanywa na mama kuku akiwa ameatamia mayai yake kwa ufanisi mkubwa sana. Tatizo linaloletwa na utaratibu huu kwa mfugaji ni kuwa mara nyingi kuku huatamia mayai machache tu kwa wakati mmoja. Kwa mfugaji wa kuku anayetaka kufuga kibiashara mfumo huu si mzuri kwa kuwa  mfugaji atapata vifaranga wachache tu tofauti labda na idadi inayotakiwa.
Ili kuondoa shida hii, mashine ambazo hufanya kazi ya mama kuku. Mashine hizo zina uwezo wa kutoa :
1.       Kutoa jito linalotakiwa kuangua vifaranga
2.       Unyevunyevu (humidity) unaotakiwa
3.       Kugeuza mayai mara nyingi kwa kadri inavyotakiwa
Sisi tunatengeneza mashine hizo ambazo zinaitwa incubators. Mashine hizo ni automated kwa maana ya kuwa hufanya kazi hizo zote zenyewe. Hii inasaidia kumpunguzia mfugaji kazi ya kuangalia mayai muda ambao mayai hayo yapo kwenye kiatamizi.
Tunatengeneza mashine za ukubwa tofautitofauti. Mashine hizo zina uwezo wa mayai kutoka 300 hadi 2000.
Kama unahitaji mashine ndogo zaidi ya mashine ya mayai 300 basi tunaweza  kukutengenezea na kama unahitaji mayai mengi zaidi ya 2000 nayo pia tutakutengenezea.
Kwa kuwa wateja wetu wengi wameonesha kuhitaji mashine za mayai machache pia kulingana na kiasi cha ufugaji wao, tumeanza kutengeza mashine za mayai 90, 120, 120, 150, 180, 210, 240, na 270n pia.
TUWASILIANE KWA: 0753903809, 0655903809
Au kwa e-mail zifuatazo:
expecamdu@ymail.com
au tembelea hapa:
KARIBUNI SANA.
Sisi tupo Iringa.