1. Mashine ya mayai 180 = Tsh. 1,500,000
2. Mashine ya mayai 300 =Tsh. 2,200,000
3. Mashine ya mayai 600 =Tsh 2,700,000
4. Mashine ya mayai 1000 = Tsh3,5000,000
5. Mashine ya mayai 1500 = Tsh. 4,300,000
KUMBUKA
Mashine zetu zina sifa zifuatazo:
1. Joto lake huoneshwa kwa kidhibiti joto cha kidijitali
2. Mashine zetu hugeuza mayai zenyewe (automatic incubators)
3. Mashine zetu hazina usumbufu kabisa na spea zake ni nyepesi kupatikana
4. Mashine zetu zina ufanisi wa hadi aslimia tisini (90% efficiency)
5. Mashine zetu haziharibiki mara kwa mara
KARIBUNI WOTE
Sisi tupo Iringa mjini. Watu wengi wamedai mashine zao zina ufanisi mkubwa tofauti na ukweli. Ukitaka kununua mashine kwetu tunakushauri ututembelee kwanza ili uonane na watengenezaji lakini pia uonane na wale ambao wanazitumia ili wakupe ushahidi wa jinsi mashine hizi zinavyoweza kutotoa vifaranga kwa ufanisi mkubwa bila usumbufu.
Kwa mawasiliano:
0753903809 au 0655903809
Mnakaribishwa sana
No comments:
Post a Comment