HABARI NJEMA KWA WAJASIRIAMALI
Kwa sasa tunatengeneza mashine za kuangua vifaranga zaukubwa mbalimbali kama ifuatavyo:
1. Mashine za mayai 90 = Tsh. 600,000/
2. Mashine za mayai 120 = Tsh 800,000/
3. Mashine za mayai 180 =Tsh. 1,500,000/
4. Mashine za mayai 300 =Tsh. 2,200,000/
5. Mashine za mayai 600 =Tsh. 2,800,000/
6. Mashine za mayai 1000 = Tsh. 3,500,000/
Mashine zetu zina sifa nzuri sana za uanguaji mzuri wa mayai. Mnakaribishwa wote mfike mjionee zinavyofanya kazi. Sisi tupo Iringa mjini. Mnakaribishwa sana.
BLOG YA UJASIRIAMALI:UFUGAJI WA KUKU: KWA MAHITAJI NA USHAURI WA UFUGAJI WA KUKU NA MASHINE ZA KUANGULIA VIFARANGA VYA KUKU TUWASILIANE KWA NAMBA 0753903809 AU 0655903809
image slider
Watengenezaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Ushauri wa ufugaji wa kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Je Mashine inayotumia gas ya mayai 120 inauzwa bei gani.
Post a Comment