image slider

HUDUMA TUNAZOZITOA
Watengenezaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Ushauri wa ufugaji wa kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku

Saturday, January 3, 2015

Mwaka 2015 kwa nguvu mpya na maarifa mapya

Napenda kuwapa heri ya mwaka mpya wajasiriamali wote. Nategemea mwaka huu wajasiriamali wengi zaidi wataungana nasi katika kujikwamua na umaskini huu.
Nawashauri ndugu zanguni kufanya kazi halali kwa bidii kuliko kukaa ukiota eti kuna siku utaingiziwa fedha za ESCROW na fulani.
Kwa wale wanaotaka kuondokana na umasikini kwa njia ya ufugaji wa ndege mbalimbali kama kuku na kware tuwasiliane kwa namba hapo juu.
Mashine zetu za kuangulia vifaranga zinaendelea kutengenezwa kwa bei zifatatazo
- Incubator ya mayai 180 = Tsh 1,500,000
- Incubator ya mayai 300 = Tsh 2,200,000
- Incubator ya mayai 600 = Tsh 2,800,000
- Incubator ya mayai 1000 = Tsh 3,500,000
KARIBUNI WOTE