image slider

HUDUMA TUNAZOZITOA
Watengenezaji wa mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Ushauri wa ufugaji wa kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku
Wauzaji wa vifaranga vya kuku
Mashine za kuangulia vifaranga vya kuku

Thursday, September 19, 2013

Tuesday, September 17, 2013

BEI YA MASHINE ZA KUANGUA VIFARANGA

Tunazo mashine za kuangua vifaranga za ukubwa mbalimbali kama ifuatavyo:
1. Mashine ya mayai 180 = Tsh. 1,500,000
2. Mashine ya mayai 300 =Tsh. 2,200,000
3. Mashine ya mayai 600 =Tsh 2,700,000
4. Mashine ya mayai 1000 = Tsh3,5000,000
5. Mashine ya mayai 1500 = Tsh. 4,300,000
KUMBUKA 
Mashine zetu zina sifa zifuatazo:
1. Joto lake huoneshwa kwa kidhibiti joto cha kidijitali
2. Mashine zetu hugeuza mayai zenyewe (automatic incubators)
3. Mashine zetu hazina usumbufu kabisa na spea zake ni nyepesi kupatikana
4. Mashine zetu zina ufanisi wa hadi aslimia tisini (90% efficiency)
5. Mashine zetu haziharibiki mara kwa mara
KARIBUNI WOTE
Sisi tupo Iringa mjini. Watu wengi wamedai mashine zao zina ufanisi mkubwa tofauti na ukweli. Ukitaka kununua mashine kwetu tunakushauri ututembelee kwanza ili uonane na watengenezaji lakini pia uonane na wale ambao wanazitumia ili wakupe ushahidi wa jinsi mashine hizi zinavyoweza kutotoa vifaranga kwa ufanisi mkubwa bila usumbufu.
Kwa mawasiliano:
0753903809 au 0655903809
Mnakaribishwa sana