HABARI NJEMA KWA WAJASIRIAMALI
Kwa sasa tunatengeneza mashine za kuangua vifaranga zaukubwa mbalimbali kama ifuatavyo:
1. Mashine za mayai 90 = Tsh. 600,000/
2. Mashine za mayai 120 = Tsh 800,000/
3. Mashine za mayai 180 =Tsh. 1,500,000/
4. Mashine za mayai 300 =Tsh. 2,200,000/
5. Mashine za mayai 600 =Tsh. 2,800,000/
6. Mashine za mayai 1000 = Tsh. 3,500,000/
Mashine zetu zina sifa nzuri sana za uanguaji mzuri wa mayai. Mnakaribishwa wote mfike mjionee zinavyofanya kazi. Sisi tupo Iringa mjini. Mnakaribishwa sana.
Je Mashine inayotumia gas ya mayai 120 inauzwa bei gani.
ReplyDelete